Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 136:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Akamwangusha Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini akawazamisha humo Farao na jeshi lake; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini akawazamisha humo Farao na jeshi lake; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini akawazamisha humo Farao na jeshi lake; kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini alimfagia Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu, Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini alimfagia Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu, Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akamwangusha Farao na jeshi lake katika Bahari ya Shamu; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 136:15
10 Marejeleo ya Msalaba  

Alituma ishara na maajabu kati yako, Ee Misri, Juu ya Farao na watumishi wake wote.


Kwa fadhili zako utawakatilia mbali adui zangu; Na kuwaangamiza wote wanitesao nafsi, Kwa maana mimi ni mtumishi wako.


Kwa mambo ya kutisha utatujibu, Katika haki, Ee Mungu wa wokovu wetu. Wewe uliye tumaini la miisho yote ya dunia, Na la bahari iliyo mbali sana,


Hao akawachukua salama wala hawakuogopa, Bali bahari iliwafunika adui zao.