Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 136:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ndiye aliyeigawa Bahari ya Shamu sehemu mbili; kwa maana fadhili zake zadumu milele,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ndiye aliyeigawa Bahari ya Shamu sehemu mbili; kwa maana fadhili zake zadumu milele,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ndiye aliyeigawa Bahari ya Shamu sehemu mbili; kwa maana fadhili zake zadumu milele,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwake yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu, Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwake yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu, Fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yeye aliyeigawa Bahari ya Shamu; Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 136:13
8 Marejeleo ya Msalaba  

Wewe umeipasua bahari kwa nguvu zako, Umevivunja vichwa vya nyangumi juu ya maji.


Aliipasua bahari akawavusha; Aliyafanya maji yasimame kama ukuta.


Lakini wana wa Israeli wakaenda katika nchi kavu katikati ya bahari; na hayo maji yalikuwa ni kuta upande wao wa kulia, na upande wao wa kushoto.


Kwa imani wakapita kati ya Bahari ya Shamu, kama katika nchi kavu; Wamisri walipojaribu kufanya vivyo wakatoswa.