Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 135:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Msifuni BWANA kwa kuwa BWANA ni mwema, Liimbieni jina lake kwa maana lapendeza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Msifuni Mwenyezi-Mungu kwa kuwa ni mwema; mtukuzeni kwa nyimbo maana inafaa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Msifuni Mwenyezi-Mungu kwa kuwa ni mwema; mtukuzeni kwa nyimbo maana inafaa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Msifuni Mwenyezi-Mungu kwa kuwa ni mwema; mtukuzeni kwa nyimbo maana inafaa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Msifuni Mwenyezi Mungu, kwa kuwa Mwenyezi Mungu ni mwema, liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Msifuni bwana, kwa kuwa bwana ni mwema, liimbieni sifa jina lake, kwa maana hilo lapendeza.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Msifuni BWANA kwa kuwa BWANA ni mwema, Liimbieni jina lake kwa maana lapendeza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 135:3
12 Marejeleo ya Msalaba  

Maana BWANA ni mwema; Rehema zake ni za milele; Na uaminifu wake katika vizazi vyote.


Haleluya. Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Haleluya. Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Wewe U mwema na mtenda mema, Unifundishe amri zako.


Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema; Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Haleluya. Msifuni Bwana; Maana ni vema kumwimbia Mungu wetu sifa, Maana ni mwenye fadhili, na anastahili kuimbiwa sifa.


Mpigieni BWANA vigelegele, enyi wenye haki, Kusifu kunawapasa wanyofu wa moyo.


Nafsi yangu itakinai kama kushiba mafuta na vinono; Kinywa changu kitakusifu kwa midomo ya furaha.


Akamwambia, Kwa nini uniulize kuhusu wema? Aliye mwema ni mmoja. Lakini ukitaka kuingia katika uzima, zishike amri.