Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 135:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ninyi msimamao nyumbani mwa BWANA, Nyuani mwa nyumba ya Mungu wenu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Msifuni enyi mkaao katika nyumba yake, ukumbini mwa nyumba ya Mungu wetu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Msifuni enyi mkaao katika nyumba yake, ukumbini mwa nyumba ya Mungu wetu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Msifuni enyi mkaao katika nyumba yake, ukumbini mwa nyumba ya Mungu wetu!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Mwenyezi Mungu, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya bwana, katika nyua za nyumba ya Mungu wetu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ninyi msimamao nyumbani mwa BWANA, Nyuani mwa nyumba ya Mungu wenu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 135:2
9 Marejeleo ya Msalaba  

nao wasimame kila asubuhi kumshukuru na kumsifu BWANA, na jioni vivyo hivyo;


Mkasimame katika patakatifu, kama ndugu zenu wana wa watu walivyogawanyika kufuata nyumba za mababa, kadiri ya mgawanyiko wa kila nyumba ya baba, ya Walawi.


Ndipo Walawi, Yeshua na Kadmieli, na Bani, na Hashabneya, na Sherebia, na Hodia, na Shebania, na Pethahia, wakasema, Simameni, mkamhimidi BWANA, Mungu wenu, tangu milele na hata milele. Na lihimidiwe jina lako tukufu, lililotukuka kuliko baraka zote na sifa zote.


Katika nyua za nyumba ya BWANA, Ndani yako, Ee Yerusalemu.


Njoni, enyi watumishi wote wa BWANA, Mhimidini BWANA Ninyi mnaohudumu usiku Katika nyumba ya BWANA.


Waliopandwa katika nyumba ya BWANA Watastawi katika nyua za Mungu wetu.


Mpeni BWANA utukufu wa jina lake, Leteni sadaka, na mwingie katika nyua zake.


Naye ni mjane wa miaka themanini na minne; haondoki katika hekalu, ila huabudu usiku na mchana kwa kufunga na kuomba.