Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 135:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Haleluya. Lisifuni jina la BWANA, Enyi watumishi wa BWANA, sifuni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Msifuni Mwenyezi-Mungu! Lisifuni jina la Mwenyezi-Mungu, msifuni enyi watumishi wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Msifuni Mwenyezi-Mungu! Lisifuni jina la Mwenyezi-Mungu, msifuni enyi watumishi wake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Msifuni Mwenyezi-Mungu! Lisifuni jina la Mwenyezi-Mungu, msifuni enyi watumishi wake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Msifuni Mwenyezi Mungu. Lisifuni jina la Mwenyezi Mungu, msifuni, enyi watumishi wa Mwenyezi Mungu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Msifuni bwana. Lisifuni jina la bwana, msifuni, enyi watumishi wa bwana,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Haleluya. Lisifuni jina la BWANA, Enyi watumishi wa BWANA, sifuni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 135:1
18 Marejeleo ya Msalaba  

Na haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni; Libni, na Shimei.


Ndipo Walawi, Yeshua na Kadmieli, na Bani, na Hashabneya, na Sherebia, na Hodia, na Shebania, na Pethahia, wakasema, Simameni, mkamhimidi BWANA, Mungu wenu, tangu milele na hata milele. Na lihimidiwe jina lako tukufu, lililotukuka kuliko baraka zote na sifa zote.


Watu walitangaze jina la BWANA katika Sayuni, Na sifa zake katika Yerusalemu,


Haleluya. Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Na wamshukuru BWANA kwa fadhili zake, Na maajabu yake kwa wanadamu.


Na wamshukuru BWANA, kwa fadhili zake, Na maajabu yake kwa wanadamu.


Haleluya. Nitamshukuru BWANA kwa moyo wangu wote, Barazani pa wanyofu wa moyo na katika mkutano.


Haleluya. Heri mtu yule amchaye BWANA, Apendezwaye sana na maagizo yake.


Njoni, enyi watumishi wote wa BWANA, Mhimidini BWANA Ninyi mnaohudumu usiku Katika nyumba ya BWANA.


Na walisifu jina la BWANA, Maana jina lake peke yake limetukuka; Adhama yake i juu ya nchi na mbingu.


Kila mwenye pumzi na amsifu BWANA. Haleluya.


Nitamshukuru BWANA kwa kadiri ya haki yake; Nitaliimbia jina la BWANA aliye juu.