Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 134:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

BWANA akubariki toka Sayuni, Aliyeziumba mbingu na nchi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu awabariki kutoka Siyoni; yeye aliyeumba mbingu na dunia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu awabariki kutoka Siyoni; yeye aliyeumba mbingu na dunia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu awabariki kutoka Siyoni; yeye aliyeumba mbingu na dunia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Naye Mwenyezi Mungu, Muumba wa mbingu na dunia, awabariki kutoka Sayuni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Naye bwana, Muumba wa mbingu na dunia, awabariki kutoka Sayuni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

BWANA akubariki toka Sayuni, Aliyeziumba mbingu na nchi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 134:3
13 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA atainyosha toka Sayuni Fimbo ya nguvu zako. Uwe na enzi kati ya adui zako;


Na mbarikiwe ninyi na BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi.


Msaada wetu u katika jina la BWANA, Aliyeziumba mbingu na nchi.


BWANA akubariki toka Sayuni; Uone uheri wa Yerusalemu siku zote za maisha yako;


Na ahimidiwe BWANA toka Sayuni, Akaaye Yerusalemu. Haleluya.


Yeye aliyeumba mbingu kwa fahamu zake; Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Laiti wokovu wa Israeli ungetoka katika Sayuni! BWANA awarudishapo wafungwa wa watu wake; Yakobo atashangilia, Israeli atafurahi.


Akutumie msaada toka patakatifu pake, Na kukutegemeza toka Sayuni.


Azikumbuke sadaka zako zote, Na kuzitakabali dhabihu zako.


Ufunuo wa neno la BWANA juu ya Israeli. Haya ndiyo asemayo BWANA, azitandaye mbingu, auwekaye msingi wa dunia, aiumbaye roho ya mwanadamu ndani yake.


Hivyo Israeli wote wataokoka; kama ilivyoandikwa, Mwokozi atakuja kutoka Sayuni; Atamtenga Yakobo na maasia yake.


Na tazama, Boazi akaja kutoka Bethlehemu na kuwaamkia wavunaji, akasema, BWANA akae nanyi. Nao wakamwitikia, BWANA na akubariki.