Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 134:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Painulieni patakatifu mikono yenu, Na kumhimidi BWANA.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Inueni mikono kuelekea mahali patakatifu, na kumtukuza Mwenyezi-Mungu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Inueni mikono kuelekea mahali patakatifu, na kumtukuza Mwenyezi-Mungu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Inueni mikono kuelekea mahali patakatifu, na kumtukuza Mwenyezi-Mungu!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Inueni mikono yenu katika patakatifu na kumsifu Mwenyezi Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Inueni mikono yenu katika pale patakatifu na kumsifu bwana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Painulieni patakatifu mikono yenu, Na kumhimidi BWANA.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 134:2
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ezra akamhimidi BWANA, Mungu Mkuu. Nao watu wote wakaitika, Amina, Amina, pamoja na kuinua mikono yao; kisha wakainamisha vichwa vyao, wakamsujudu BWANA kifudifudi.


Sala yangu ipae mbele zako kama uvumba, Kuinuliwa mikono yangu kama dhabihu ya jioni.


Nitanawa mikono yangu bila ya kuwa na hatia, Na kuizunguka madhabahu yako, Ee BWANA


Uisikie sauti ya dua yangu nikuombapo, Nikipainulia patakatifu pako mikono yangu.


Ndivyo nilivyokutazama katika patakatifu, Nizione nguvu zako na utukufu wako.


Ndivyo nitakavyokubariki maadamu ni hai; Kwa jina lako nitaiinua mikono yangu.


Nafsi yangu itakinai kama kushiba mafuta na vinono; Kinywa changu kitakusifu kwa midomo ya furaha.


Inuka, ulalamike usiku, Mwanzo wa mikesha yake; Mimina moyo wako kama maji usoni pa Bwana; Umwinulie mikono yako; Kwa uhai wa watoto wako wachanga wazimiao kwa njaa, Mwanzo wa kila njia kuu.


Na tumwinulie Mungu aliye mbinguni Mioyo yetu na mikono.


Basi, nataka wanaume waombe kila mahali, huku wakiinua mikono iliyotakata pasipo hasira wala majadiliano.