Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 132:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

BWANA, umkumbukie Daudi Taabu zake zote alizotaabika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ee Mwenyezi-Mungu, mkumbuke Daudi, kumbuka taabu zote alizopata.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ee Mwenyezi-Mungu, mkumbuke Daudi, kumbuka taabu zote alizopata.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ee Mwenyezi-Mungu, mkumbuke Daudi, kumbuka taabu zote alizopata.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee Mwenyezi Mungu, mkumbuke Daudi na taabu zote alizozistahimili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee bwana, mkumbuke Daudi na taabu zote alizozistahimili.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

BWANA, umkumbukie Daudi Taabu zake zote alizotaabika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 132:1
20 Marejeleo ya Msalaba  

Na Mungu akamkumbuka Nuhu, na kila kilicho hai, na wanyama wote waliokuwamo pamoja naye katika safina; Mungu akavumisha upepo juu ya nchi, maji yakapungua;


Katika shida yangu nilimlilia BWANA Naye akaniitikia.


Nayainua macho yangu niitazame milima, Msaada wangu utatoka wapi?


Nilifurahi waliponiambia, Twende nyumbani kwa BWANA.


Nimekuinulia macho yangu, Wewe uketiye mbinguni.


Kama si BWANA aliyekuwa pamoja nasi, Israeli na aseme sasa,


Wamtumainio BWANA ni kama mlima Sayuni, Ambao hautikisiki, wakaa milele.


BWANA alipowarejesha mateka wa Sayuni, Tulikuwa kama waotao ndoto.


BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wanafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye anakesha bure.


Heri kila mtu amchaye BWANA, Aendaye katika njia yake.


Mara nyingi wamenitesa tangu ujana wangu, Israeli na aseme sasa,


Ee BWANA, toka vilindini nimekulilia.


BWANA, moyo wangu hauna kiburi, Wala macho yangu hayainuki. Wala sijishughulishi na mambo makuu, Wala mambo yanayozidi nguvu zangu.


Utazame mateso yangu na taabu yangu; Unisamehe dhambi zangu zote.


Mungu akasikia kuugua kwao, Mungu akakumbuka agano lake alilolifanya na Abrahamu na Isaka na Yakobo.


Kumbuka mateso yangu, na msiba wangu, Pakanga na nyongo.


Ee BWANA, kumbuka yaliyotupata; Utazame na kuiona aibu yetu.