Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 13:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ee BWANA, utanisahau hadi lini, hata milele? Hadi lini utanificha uso wako?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mpaka lini ee Mwenyezi-Mungu, utanisahau? Je, utanisahau mpaka milele? Mpaka lini utanificha uso wako?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mpaka lini ee Mwenyezi-Mungu, utanisahau? Je, utanisahau mpaka milele? Mpaka lini utanificha uso wako?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mpaka lini ee Mwenyezi-Mungu, utanisahau? Je, utanisahau mpaka milele? Mpaka lini utanificha uso wako?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hadi lini, Ee Mwenyezi Mungu? Je, utanisahau milele? Utanificha uso wako hadi lini?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mpaka lini, Ee bwana? Je, utanisahau milele? Utanificha uso wako mpaka lini?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ee BWANA, utanisahau hadi lini, hata milele? Hadi lini utanificha uso wako?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 13:1
15 Marejeleo ya Msalaba  

Mbona umeuficha uso wako, Na kunihesabu kuwa ni adui yako?


Inuka, Ee Mungu BWANA, uuinue mkono wako, Ee Mungu Usiwasahau wanyonge.


BWANA, utatazama hadi lini? Uiokoe nafsi yangu kutoka kwa maangamizi yao, Na maisha yangu kutoka kwa wanasimba.


Mbona unatuficha uso wako, Na kusahau kuonewa na kudhulumiwa kwetu?


Na nafsi yangu imefadhaika sana; Na Wewe, BWANA, hadi lini?


Ee Mungu, mbona umetutupa milele? Kwa nini hasira yako inatoka moshi Juu ya kondoo wa malisho yako?


Ee BWANA, Mungu wa majeshi, hadi lini Utayaghadhibikia maombi ya watu wako?


Je! Utatufanyia hasira hata milele? Utadumisha ghadhabu kizazi hadi kizazi?


Hadi lini, Ee BWANA? Utajificha hata milele? Ghadhabu yako itawaka kama moto hadi lini?


Utushibishe asubuhi kwa fadhili zako, Nasi tutashangilia na kufurahi siku zetu zote.


lakini maovu yenu yamewafarikisha ninyi na Mungu wenu, na dhambi zenu zimeuficha uso wake msiuone, hata hataki kusikia.


Mbona watusahau sikuzote; Na kutuacha muda huu mwingi?


Ndipo hasira yangu itakapowaka juu yao siku hiyo, nami nitawaacha, nitawaficha uso wangu, nao wataliwa, tena watajiliwa na mambo maovu mengi na mashaka; hata waseme siku hiyo, Je! Kujiliwa kwetu na maovu haya si kwa sababu Mungu wetu hayumo kati yetu?