Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 129:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ambayo mvunaji haujazi mkono wake, Wala mfunga miganda kifua chake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

hakuna anayejishughulisha kuzikusanya, wala kuzichukua kama matita.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

hakuna anayejishughulisha kuzikusanya, wala kuzichukua kama matita.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

hakuna anayejishughulisha kuzikusanya, wala kuzichukua kama matita.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake, wala akusanyaye kujaza mikono yake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake, wala akusanyaye kujaza mikono yake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ambayo mvunaji haujazi mkono wake, Wala mfunga miganda kifua chake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 129:7
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ingawa mtu anakwenda zake akilia, Azichukuapo mbegu za kupanda. Hakika atarudi kwa kelele za furaha, Aichukuapo miganda yake.


Kwa maana wao hupanda upepo, nao watavuna tufani; nafaka haina bua; machipuko yake hayatoi masuke; hata ikiwa yatoa, wageni watayameza.


Maana yeye apandaye kwa mwili wake, katika mwili wake atavuna uharibifu; bali yeye apandaye kwa Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele.