Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 129:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na wawe kama majani ya darini Yanyaukayo kabla hayajamea.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wawe kama nyasi juu ya paa la nyumba, ambazo hunyauka kabla hazijakua,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wawe kama nyasi juu ya paa la nyumba, ambazo hunyauka kabla hazijakua,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wawe kama nyasi juu ya paa la nyumba, ambazo hunyauka kabla hazijakua,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wawe kama majani juu ya paa, ambayo hunyauka kabla hayajakua;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wawe kama majani juu ya paa, ambayo hunyauka kabla hayajakua;

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na wawe kama majani ya darini Yanyaukayo kabla hayajamea.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 129:6
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na tazama, masuke saba membamba, dhaifu, yamekaushwa na upepo wa mashariki, yakatokeza baada yao.


Ndiyo sababu wenyeji wao walikuwa na nguvu chache, wakafadhaika, na kuhangaika; wakawa kama majani ya mashamba, kama miche mibichi, kama majani juu ya dari, na kama ngano iliyokaushwa kabla haijaiva.


Maana kama majani watakatika mara, Kama miche mibichi watanyauka.


Hata wasio haki wakichipuka kama majani Na wote watendao maovu wakastawi. Mwishowe wataangamizwa milele;


Ndiyo sababu wenyeji wao wakawa hawana nguvu, na kufadhaika, na kuhangaika, wakawa kama majani ya mashamba, kama miche mibichi, kama majani juu ya madari, kama shamba la ngano kabla haijaiva.


Lakini jua lilipozuka ziliungua; na kwa kuwa hazina mizizi zikanyauka.