Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 129:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mara nyingi wamenitesa tangu ujana wangu, Lakini hawakuniweza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Nimesumbuliwa vibaya tangu ujana wangu, lakini hawakufaulu kunishinda.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Nimesumbuliwa vibaya tangu ujana wangu, lakini hawakufaulu kunishinda.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Nimesumbuliwa vibaya tangu ujana wangu, lakini hawakufaulu kunishinda.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

wamenitesa sana tangu ujana wangu, lakini bado hawajanishinda.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

wamenionea mno tangu ujana wangu, lakini bado hawajanishinda.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mara nyingi wamenitesa tangu ujana wangu, Lakini hawakuniweza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 129:2
11 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye atakuokoa na mateso sita; Naam, hata katika saba hapana uovu utakaokugusa.


Ulinisukuma sana ili nianguke; Lakini BWANA akanisaidia.


Wamtumainio BWANA ni kama mlima Sayuni, Ambao hautikisiki, wakaa milele.


Mateso ya mwenye haki ni mengi, Lakini BWANA kutoka kwayo yote.


Kama ayala aioneavyo shauku mito ya maji. Vivyo hivyo nafsi yangu inakuonea shauku, Ee Mungu.


Basi wakaweka wasimamizi juu yao wawatese kwa mizigo yao. Nao wakamjengea Farao miji ya kuwekea akiba, Pithomu na Ramesesi.


Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.


Hayo nimewaambieni mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu.