Tazama, atabarikiwa hivyo, yule amchaye BWANA.
Naam, ndivyo atakavyobarikiwa mtu amchaye Mwenyezi-Mungu.
Hivyo ndivyo atakavyobarikiwa mtu amchaye Mwenyezi Mungu.
Hivyo ndivyo atakavyobarikiwa mtu amchaye bwana.
Atawabariki wamchao BWANA, Wadogo kwa wakubwa.
na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya BWANA, Mungu wako.