Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 125:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa maana fimbo ya udhalimu Haitakaa juu ya nchi ya wenye haki; Ili wenye haki wasije wakainyosha Mikono yao kwenye upotovu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Waovu hawataendelea kutawala nchi ya waadilifu; wasije waadilifu nao wakafanya maovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Waovu hawataendelea kutawala nchi ya waadilifu; wasije waadilifu nao wakafanya maovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Waovu hawataendelea kutawala nchi ya waadilifu; wasije waadilifu nao wakafanya maovu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Fimbo ya waovu haitadumu juu ya nchi waliyopewa wenye haki, ili wenye haki wasije wakatumia mikono yao kutenda ubaya.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Fimbo ya waovu haitadumu juu ya nchi waliopewa wenye haki, ili wenye haki wasije wakatumia mikono yao kutenda ubaya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa maana fimbo ya udhalimu Haitakaa juu ya nchi ya wenye haki; Ili wenye haki wasije wakainyosha Mikono yao kwenye upotovu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 125:3
11 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana Yeye anatujua umbo letu, Na kukumbuka ya kuwa sisi tu mavumbi.


Yeye hatashutumu daima, Wala hatashika hasira yake milele.


Mwenzangu amenyosha mkono awadhuru waliopatana naye, Amelivunja agano lake.


Adui hatamwonea, Wala mwana wa uovu hatamtesa.


Yeye apandaye uovu atavuna msiba, Na fimbo ya ghadhabu yake itakoma.


Ole wake Ashuru! Fimbo ya hasira yangu, ambaye gongo lililo mkononi mwake ni ghadhabu yangu!


Umemwadhibu kwa kiasi, ulipomfukuza; ukampepeta kwa upepo mkali katika siku ya upepo wa mashariki.


Jaribu halikuwapata ninyi, isipokuwa lililo kawaida ya wanadamu; ila Mungu ni mwaminifu; ambaye hatawaacha mjaribiwe kupita muwezavyo; lakini pamoja na lile jaribu atafanya na mlango wa kutokea, ili muweze kustahimili.


Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji la uzima.


Tazama, leo hivi macho yako yameona jinsi BWANA alivyokutia mikononi mwangu pangoni, na watu wengine wakaniambia nikuue; lakini nikakuacha; nikasema, Sitaki kuunyosha mkono wangu juu ya bwana wangu; kwa maana yeye ni masihi wa BWANA.