Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 121:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

BWANA ndiye mlinzi wako; BWANA ni uvuli katika mkono wako wa kulia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mwenyezi-Mungu ni mlinzi wako; yuko upande wako wa kulia kukukinga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mwenyezi-Mungu ni mlinzi wako; yuko upande wako wa kulia kukukinga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mwenyezi-Mungu ni mlinzi wako; yuko upande wako wa kulia kukukinga.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu anakulinda, Mwenyezi Mungu ni uvuli wako mkono wako wa kuume,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana anakulinda, bwana ni uvuli wako mkono wako wa kuume,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

BWANA ndiye mlinzi wako; BWANA ni uvuli katika mkono wako wa kulia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 121:5
8 Marejeleo ya Msalaba  

Maana atasimama mkono wa kulia wa mhitaji Amwokoe kutoka kwa wanaoihukumu nafsi yake.


Nimemweka BWANA mbele yangu daima, Kwa kuwa yuko kuliani mwangu, sitaondoshwa.


Aketiye mahali pa siri pake Aliye Juu Atakaa katika uvuli wake Mwenyezi.


BWANA naye akawatangulia mchana ndani ya wingu mfano wa nguzo, ili awaongoze njia; na usiku, ndani ya moto mfano wa nguzo, ili kuwapa nuru; wapate kusafiri mchana na usiku;


Maana umekuwa ngome ya maskini, Ngome ya mhitaji katika dhiki yake, Mahali pa kukimbilia wakati wa tufani, Na kivuli wakati wa joto; Wakati kishindo cha watu wakatili kilipokuwa, Kama dhoruba ipigayo ukuta.


Na mwanadamu atakuwa kama mahali pa kujificha na upepo, na mahali pa kujisitiri na dhoruba; kama mito ya maji mahali pakavu, kama kivuli cha mwamba mkubwa katika nchi yenye uchovu.


Ee Yerusalemu, Yerusalemu, uwauaye manabii, na kuwapiga kwa mawe wale waliotumwa kwako! Ni mara ngapi nimetaka kuwakusanya pamoja watoto wako, kama vile kuku awakusanyavyo pamoja vifaranga wake chini ya mabawa yake, lakini hamkutaka!