Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 121:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naam, hatasinzia wala hatalala, Yeye aliye mlinzi wa Israeli.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kweli mlinzi wa Israeli hasinzii wala halali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kweli mlinzi wa Israeli hasinzii wala halali.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kweli mlinzi wa Israeli hasinzii wala halali.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

hakika, yeye alindaye Israeli hatasinzia wala hatalala usingizi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

hakika, yeye alindaye Israeli hatasinzia wala hatalala usingizi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naam, hatasinzia wala hatalala, Yeye aliye mlinzi wa Israeli.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 121:4
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa, wakati wa adhuhuri, Eliya akawafanyia dhihaka, akasema, Mwiteni kwa sauti kuu; maana ni mungu huyo; labda anazungumza, au ana shughuli, au anasafiri, au labda amelala, sharti aamshwe.


BWANA asipoijenga nyumba Waijengao wanafanya kazi bure. BWANA asipoulinda mji Yeye aulindaye anakesha bure.


BWANA ni nuru yangu na wokovu wangu, Nimwogope nani? BWANA ni ngome ya uzima wangu, Nimhofu nani?


Mimi nilipotia moyo wangu katika kuijua hekima, na kuuona utumishi uliofanyika juu ya nchi, (maana kuna asiyepata usingizi kwa macho yake mchana wala usiku);


Mimi, BWANA, nililinda, Nitalitia maji kila dakika, Asije mtu akaliharibu; Usiku na mchana nitalilinda.


Kwa hiyo wako mbele ya kiti cha enzi cha Mungu, nao wanamtumikia mchana na usiku katika hekalu lake, na yeye aketiye katika kiti cha enzi atatanda hema yake juu yao.