Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 120:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa muda mrefu nimeishi, Pamoja na watu wanaoichukia amani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nimeishi muda mrefu mno kati ya watu wanaochukia amani!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nimeishi muda mrefu mno kati ya watu wanaochukia amani!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nimeishi muda mrefu mno kati ya watu wanaochukia amani!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nimeishi muda mrefu mno miongoni mwa wale wanaochukia amani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nimeishi muda mrefu mno miongoni mwa wale wanaochukia amani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa muda mrefu nimeishi, Pamoja na watu wanaoichukia amani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 120:6
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nafsi yangu i kati ya simba, Nitastarehe kati yao waliowaka moto. Wanadamu meno yao ni mikuki na mishale, Na ndimi zao ni upanga mkali.


Na wewe, mwanadamu, usiwaogope hao, wala usiyaogope maneno yao, ijapokuwa miiba na michongoma inakuzunguka, nawe unakaa katikati ya nge; usiyaogope maneno yao, wala usifadhaike kwa sababu ya nyuso zao, wajapokuwa ni nyumba yenye kuasi.


Angalieni, mimi nawatuma kama kondoo kati ya mbwamwitu; basi iweni na busara kama nyoka, na kuwa watu wapole kama hua.


na adui za mtu ni wale wa nyumbani mwake.


Maana hapo zamani sisi nasi tulikuwa hatuna akili, tulikuwa waasi, tumedanganywa, huku tukitumikia tamaa na anasa za namna nyingi, tukiishi katika uovu na husuda, tukichukiza na kuchukiana.