Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 12:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wasio haki hutembea pande zote, Huku ufisadi ukitukuka kati ya wanadamu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Waovu wanazunguka kila mahali; upotovu unatukuzwa kati ya watu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Waovu wanazunguka kila mahali; upotovu unatukuzwa kati ya watu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Waovu wanazunguka kila mahali; upotovu unatukuzwa kati ya watu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watu waovu huenda wakiringa kila mahali wakati yule aliye mbaya sana ndiye anayeheshimiwa miongoni mwa watu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watu waovu huenda wakiringa kila mahali wakati ambapo yule aliye mbaya sana ndiye anayeheshimiwa miongoni mwa watu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wasio haki hutembea pande zote, Huku ufisadi ukitukuka kati ya wanadamu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 12:8
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wao ni wana wa wapumbavu, naam, watoto wa wahuni; Walifukuzwa kwa mijeledi watoke katika nchi.


Mwenye kutawala akisikiliza uongo; Basi watumishi wake wote watakuwa waovu.


Kisha badala yake atasimama mmoja, mtu astahiliye kudharauliwa, ambaye hawakumpa heshima ya ufalme; naye atakuja wakati wa amani, naye ataupata ufalme kwa kujipendekeza.


Efraimu ameonewa, amesetwa katika hukumu, kwa sababu alikuwa radhi kufuata ubatili.


Kwa maana amri za Omri ndizo zishikwazo, na matendo yote ya nyumba ya Ahabu, nanyi mnakwenda katika mashauri yao; ili nikufanye kuwa ukiwa, na wenyeji waliomo humo kuwa zomeo; nanyi mtayachukua matukano waliyotukanwa watu wangu.