Siku za mtumishi wako ni ngapi, Lini utakapowahukumu wale wanaonifuatia?
Mimi mtumishi wako nitasubiri mpaka lini? Utawaadhibu lini wale wanaonidhulumu?
Mtumishi wako itampasa angoje hadi lini? Ni lini utawaadhibu washtaki wangu?
Mtumishi wako itampasa angoje mpaka lini? Ni lini utawaadhibu washtaki wangu?
BWANA uondoke kwa hasira yako; Ujiinue Juu ya ujeuri wa watesi wangu; Uamke kwa ajili yangu; Umeamuru hukumu.
Basi, utufundishe kuzihesabu siku zetu, Tujipatie moyo wa hekima.