Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 119:84 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Siku za mtumishi wako ni ngapi, Lini utakapowahukumu wale wanaonifuatia?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mimi mtumishi wako nitasubiri mpaka lini? Utawaadhibu lini wale wanaonidhulumu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mimi mtumishi wako nitasubiri mpaka lini? Utawaadhibu lini wale wanaonidhulumu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mimi mtumishi wako nitasubiri mpaka lini? Utawaadhibu lini wale wanaonidhulumu?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtumishi wako itampasa angoje hadi lini? Ni lini utawaadhibu washtaki wangu?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtumishi wako itampasa angoje mpaka lini? Ni lini utawaadhibu washtaki wangu?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Siku za mtumishi wako ni ngapi, Lini utakapowahukumu wale wanaonifuatia?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 119:84
6 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA uondoke kwa hasira yako; Ujiinue Juu ya ujeuri wa watesi wangu; Uamke kwa ajili yangu; Umeamuru hukumu.


Basi, utufundishe kuzihesabu siku zetu, Tujipatie moyo wa hekima.