Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 119:70 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mioyo yao imenenepa kama shahamu, Lakini mimi nimeifurahia sheria yako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mioyo yao imejaa upumbavu, lakini mimi nafurahia sheria yako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mioyo yao imejaa upumbavu, lakini mimi nafurahia sheria yako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mioyo yao imejaa upumbavu, lakini mimi nafurahia sheria yako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mioyo yao ni katili na migumu, bali mimi napendezwa na sheria yako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mioyo yao ni katili na migumu, bali mimi napendezwa na sheria yako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mioyo yao imenenepa kama shahamu, Lakini mimi nimeifurahia sheria yako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 119:70
8 Marejeleo ya Msalaba  

Nitajifurahisha sana kwa amri zako, Sitalisahau neno lako.


Uniendeshe katika mapito ya amri zako, Kwa maana nimependezwa nayo.


Wamejawa na ukaidi, Kwa vinywa vyao wanajigamba.


Kuyafanya mapenzi yako, Ee Mungu wangu, ndiyo furaha yangu; Naam, sheria yako imo moyoni mwangu.


Macho yao hutokeza kwa kunenepa, Wameipita kadiri ya mawazo ya mioyo yao.


Zifanye akili za watu hawa zipumbae, na uyatie uzito masikio yao, na uyafumbe macho yao; wasije wakaona kwa macho yao, na kusikia kwa masikio yao, na kufahamu kwa mioyo yao, na kurejea na kuponywa.


Kwa maana mioyo ya watu hawa imepumbaa, Na masikio yao ni mazito ya kusikia, Na macho yao wameyafumba; Wasije wakaona kwa macho yao, Na kusikia kwa masikio yao, Na kufahamu kwa mioyo yao, Na kubadili nia zao, nikawaponya.


Kwa maana naifurahia sheria ya Mungu kwa utu wa ndani,