Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 119:69 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wenye kiburi wamenizulia uongo, Lakini kwa moyo wangu wote nitayashika mausia yako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wenye kiburi wanasema uongo juu yangu, lakini mimi nashika kanuni zako kwa moyo wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wenye kiburi wanasema uongo juu yangu, lakini mimi nashika kanuni zako kwa moyo wote.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wenye kiburi wanasema uongo juu yangu, lakini mimi nashika kanuni zako kwa moyo wote.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ingawa wenye majivuno wamenisingizia uongo, nitafuata mausia yako kwa moyo wangu wote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ingawa wenye majivuno wamenisingizia uongo, nitafuata mausia yako kwa moyo wangu wote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wenye kiburi wamenizulia uongo, Lakini kwa moyo wangu wote nitayashika mausia yako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 119:69
15 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini ninyi hubuni maneno ya uongo, Ninyi nyote ni matabibu wasiofaa.


Wanaonifuatia na watesi wangu ni wengi, Lakini mimi sikiuki shuhuda zako.


Heri wazitiio shuhuda zake, Wamtafutao kwa moyo wote.


Unifahamishe nami nitaishika sheria yako, Naam, nitaitii kwa moyo wangu wote.


Wenye kiburi wamenidharau mno, Lakini sikiuki sheria zako.


Nimekuomba radhi kwa moyo wangu wote, Unifadhili kulingana na ahadi yako.


Mashahidi wa udhalimu wanasimama, Wananiuliza mambo nisiyoyajua.


Hakuna mtu awezaye kutumikia mabwana wawili; kwa maana atamchukia huyu, na kumpenda huyu; ama atashikamana na huyu, na kumdharau huyu. Hamwezi kumtumikia Mungu na mali.


Wala hawawezi kuyahakikisha mambo haya wanayonishitaki sasa.


Kwa maana tumemwona mtu huyu kuwa mkorofi, mwanzilishi wa fitina katika Wayahudi wote duniani, tena ni kichwa cha madhehebu ya Wanazareti.


Mtu wa nia mbili husitasita katika njia zake zote.