Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 119:63 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mimi ni mwenzi wa watu wote wakuchao, Na wale wayatiio mausia yako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mimi ni rafiki ya wote wakuchao, rafiki yao wanaozitii kanuni zako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mimi ni rafiki ya wote wakuchao, rafiki yao wanaozitii kanuni zako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mimi ni rafiki ya wote wakuchao, rafiki yao wanaozitii kanuni zako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mimi ni rafiki kwa wale wote wanaokucha, kwa wote wanaofuata mausia yako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mimi ni rafiki kwa wale wote wakuchao, kwa wote wanaofuata mausia yako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mimi ni mwenzi wa watu wote wakuchao, Na wale wayatiio mausia yako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 119:63
11 Marejeleo ya Msalaba  

Macho yangu yatawaelekea waaminifu katika nchi, Hao wakae nami. Yeye aendaye katika njia kamilifu, Ndiye atakayenitumikia.


Enyi watenda mabaya, ondokeni kwangu, Niyashike maagizo ya Mungu wangu.


Wakuchao na wanirudie, Nao watazijua shuhuda zako.


Kwa ajili ya ndugu zangu na rafiki zangu Niseme sasa, Amani ikae nawe.


Uitoe nafsi yangu kifungoni. Nipate kulishukuru jina lako. Wenye haki watanizunguka, Kwa kuwa Wewe unanikirimu.


Nao watakatifu waliopo duniani, ndio Walio bora, Hao ndio niliopendezwa nao.


Nenda pamoja na wenye hekima, nawe utakuwa na hekima; Bali rafiki wa wapumbavu ataumia.


hilo tuliloliona na kulisikia, tunawahubiria na ninyi; ili nanyi pia mpate kushirikiana nasi: na ushirika wetu ni pamoja na Baba, na pamoja na Mwana wake Yesu Kristo.


Sisi tunajua ya kuwa tumepita toka mautini kuingia uzimani, kwa maana tunawapenda ndugu. Yeye asiyependa, akaa katika mauti.