Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 119:38 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Umthibitishie mtumishi wako ahadi yako, Iliyo ya wanaokucha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Unitimizie mimi mtumishi wako ahadi yako; ahadi unayowapa wale wanaokuheshimu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Unitimizie mimi mtumishi wako ahadi yako; ahadi unayowapa wale wanaokuheshimu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Unitimizie mimi mtumishi wako ahadi yako; ahadi unayowapa wale wanaokuheshimu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mtimizie mtumishi wako ahadi yako, ili upate kuogopwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mtimizie mtumishi wako ahadi yako, ili upate kuogopwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Umthibitishie mtumishi wako ahadi yako, Inayohusu wanaokucha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 119:38
13 Marejeleo ya Msalaba  

Sasa, Ee Mungu wa Israeli, nakusihi, ulithibitishe neno lako, ulilomwambia mtumishi wako, Daudi, baba yangu.


Maana, kama mbingu zilivyoinuka juu ya nchi, Ndivyo fadhili zake zilivyo kuu kwa wamchao.


Kama vile baba awahurumiavyo watoto wake, Ndivyo BWANA anavyowahurumia wamchao.


Bali fadhili za BWANA ni kwa wamchao Tangu milele hata milele, Na haki yake ni kwa vizazi vyote;


Unitetee na kunikomboa, Unihuishe sawasawa na ahadi yako.


Likumbuke neno ulilomwambia mtumishi wako, Ambalo kwalo umenipa tumaini.


Hii ndiyo faraja yangu katika taabu yangu, Ya kwamba ahadi yako imenipa moyo.


Nakuomba, fadhili zako ziwe faraja kwangu, Kulingana na ahadi yako kwa mtumishi wako.


Hutimiza matakwa ya wote wamchao, Na pia husikia kilio chao, na huwaokoa.


BWANA huwaridhia wao wamchao, Na kuzitarajia fadhili zake.


Maana ahadi zote za Mungu zilizopo katika yeye ni Ndiyo; tena kwa hiyo katika yeye ni Amin; Mungu apate kutukuzwa kwa sisi.