Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 119:165 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wana amani nyingi waipendao sheria yako, Wala hawana la kuwakwaza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wapendao sheria yako wana amani kuu; hakuna kinachoweza kuwaangusha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wapendao sheria yako wana amani kuu; hakuna kinachoweza kuwaangusha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wapendao sheria yako wana amani kuu; hakuna kinachoweza kuwaangusha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wanaopenda sheria yako wana amani tele, wala hakuna kitu kinachoweza kuwakwaza.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wanaopenda sheria yako wana amani tele, wala hakuna kitu kinachoweza kuwakwaza.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wana amani nyingi waipendao sheria yako, Wala hawana la kuwakwaza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 119:165
18 Marejeleo ya Msalaba  

Hayo ndiyo niliyokuwa nayo, Kwa sababu nimeyashika mausia yako.


Njia zake ni njia za kupendeza sana, Na mapito yake yote ni amani.


Ndipo utakapokwenda katika njia yako salama, Wala mguu wako hautakwaa.


Utamlinda yeye ambaye moyo wake umekutegemea Katika amani kamilifu, kwa kuwa anakutumaini.


Kwa sababu hiyo neno la BWANA kwao litakuwa hivi, amri juu ya amri, amri juu ya amri; kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni; huku kidogo na huku kidogo; ili waende na kuanguka nyuma, na kuvunjwa, na kunaswa, na kuchukuliwa.


Na kazi ya haki itakuwa amani; na mazao ya haki yatakuwa ni utulivu na matumaini daima.


Naye atasema, Tutieni, tutieni, Itengenezeni njia, Ondoeni kila kizuizi Katika njia ya watu wangu.


Hapana amani kwa waovu; asema Mungu wangu.


lakini hana mizizi ndani yake, bali hudumu kwa muda; ikitukia dhiki au udhia kwa ajili ya lile neno, mara huchukizwa.


Kwa maana watatokea Makristo wa uongo, na manabii wa uongo, nao watatoa ishara kubwa na maajabu; wapate kuwapoteza, ikiwezekana, hata walio wateule.


Amani nawaachieni; amani yangu nawapa; niwapavyo mimi sivyo kama ulimwengu utoavyo. Msifadhaike mioyoni mwenu, wala msiwe na woga.


Na amani ya Mungu, ipitayo akili zote, itawahifadhi mioyo yenu na nia zenu katika Kristo Yesu.


Yeye ampendaye ndugu yake, akaa katika nuru, wala ndani yake hamna kikwazo.