Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 119:123 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Macho yangu yanafifia kwa kuungojea wokovu wako, Na kutimizwa kwa ahadi yako ya haki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Macho yangu yanafifia nikingojea uniokoe, nikingojea utimize uliyoahidi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Macho yangu yanafifia nikingojea uniokoe, nikingojea utimize uliyoahidi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Macho yangu yanafifia nikingojea uniokoe, nikingojea utimize uliyoahidi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Macho yangu yamefifia, yakitazamia wokovu wako, na kuitazamia ahadi yako ya kweli.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Macho yangu yamefifia, yakitazamia wokovu wako, na kuitazamia ahadi yako ya kweli.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Macho yangu yanafifia kwa kuungojea wokovu wako, Na kutimizwa kwa ahadi yako ya haki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 119:123
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, fadhili zako zinifikie na mimi, Naam, wokovu wako kulingana na ahadi yako.


Nafsi yangu inamngoja Bwana, Kuliko walinzi waingojavyo asubuhi, Naam, walinzi waingojao asubuhi.


Ee BWANA, unijibu hima, roho yangu imelegea; Usinifiche uso wako, Nisifanane nao washukao shimoni.


Nimechoka kwa kulia kwangu, Koo yangu imekauka. Macho yangu yamedhoofika Kwa kumngoja Mungu wangu.


Macho yetu yamechoka Kwa kuutazamia bure msaada wetu; Katika kungoja kwetu tumengojea taifa Lisiloweza kutuokoa.