Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 119:117 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Unisaidie nami nitakuwa salama, Nami nitaziangalia amri zako daima.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Unitegemeze, niwe salama; niwe daima msikivu kwa masharti yako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Unitegemeze, niwe salama; niwe daima msikivu kwa masharti yako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Unitegemeze, niwe salama; niwe daima msikivu kwa masharti yako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nitegemeze, nami nitaokolewa, nami daima nitayaheshimu maagizo yako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nitegemeze, nami nitaokolewa, nami daima nitayaheshimu maagizo yako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Unisaidie nami nitakuwa salama, Nami nitaziangalia amri zako daima.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 119:117
13 Marejeleo ya Msalaba  

Na mikono yangu nitayainulia maagizo yako niliyoyapenda, Nami nitazitafakari amri zako.


Ndipo mimi sitaaibika, Nikiyaangalia maagizo yako yote.


Huko nako mkono wako utaniongoza, Na mkono wako wa kulia utanishika.


Nyayo zangu zimeshikamana na njia zako, Hatua zangu hazikuondoshwa.


Hukumu zake zote zilikuwa mbele yangu, Wala amri zake sikubandukana nazo.


Nimekutegemea Wewe tangu kuzaliwa, Ndiwe uliyenitoa tumboni mwa mama yangu, Ninakusifu Wewe daima.


Walakini mimi ni pamoja nawe daima, Umenishika mkono wa kulia.


Kwa maana mimi, BWANA, Mungu wako, nitakushika mkono wako wa kulia, nikikuambia, Usiogope; mimi nitakusaidia.


Wewe u nani unayemhukumu mtumishi wa mwingine? Kwa bwana wake mwenyewe yeye husimama au huanguka. Naam, atasimamishwa, kwa kuwa Bwana aweza kumsimamisha.


Nanyi mnalindwa na nguvu za Mungu kwa njia ya imani ili mpate wokovu ulio tayari kufunuliwa wakati wa mwisho.


Yeye awezaye kuwalinda ninyi msijikwae, na kuwasimamisha mbele ya utukufu wake bila mawaa katika furaha kuu;