Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 119:106 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nimeapa nami nikathibitisha, Kuzishika hukumu zako za haki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nimeapa na kuthibitisha kiapo changu, kwamba nitashika maagizo yako adili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nimeapa na kuthibitisha kiapo changu, kwamba nitashika maagizo yako adili.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nimeapa na kuthibitisha kiapo changu, kwamba nitashika maagizo yako adili.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nimeapa na nimethibitisha, kwamba nitafuata sheria zako za haki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nimeapa na nimethibitisha, kwamba nitafuata sheria zako za haki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nimeapa nami nikathibitisha, Kuzishika hukumu zako za haki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 119:106
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme akasimama karibu na nguzo, akafanya agano mbele za BWANA, kumfuata BWANA, na kuyashika maagizo yake, na shuhuda zake, na amri zake, kwa moyo wake wote, na kwa roho yake yote, na kuyathibitisha maneno ya agano hilo yaliyoandikwa katika kitabu hicho; nao watu wote wakalikubali agano lile.


Akasimama mfalme mahali pake, akafanya agano mbele za BWANA, kumfuata BWANA, na kuzishika amri zake, na shuhuda zake, na sheria zake, kwa moyo wake wote, na kwa roho yake yote, kuyatenda maneno ya agano yaliyoandikwa kitabuni humo.


wakaambatana na ndugu zao, wakuu wao, nao wakaingia katika laana na kiapo, ya kuwa wataiendea Torati ya Mungu, iliyotolewa kwa mkono wa Musa, mtumishi wa Mungu, na kuziangalia, na kuzitenda, amri zote za BWANA, Bwana wetu, na maagizo yake na sheria zake;


wala tusiwaoze watu wa nchi binti zetu, wala kuwatwalia wana wetu binti zao;


Enyi watenda mabaya, ondokeni kwangu, Niyashike maagizo ya Mungu wangu.


Ee Mungu, nadhiri zako ziko juu yangu; Nitakutolea dhabihu za kushukuru.


Tena mmesikia watu wa kale walivyoambiwa, Usiape uongo, ila mtimizie Bwana viapo vyako;


Tena walitenda hivi si kama tulivyotumaini tu, bali kwanza walijitoa nafsi zao kwa Bwana; na kwetu pia, kwa mapenzi ya Mungu.


Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine;