Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 118:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Katika shida yangu nilimwita BWANA; BWANA akanijibu akaniweka panapo nafasi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Katika taabu yangu nilimwomba Mwenyezi-Mungu, naye akanisikia na kuniweka huru.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Katika taabu yangu nilimwomba Mwenyezi-Mungu, naye akanisikia na kuniweka huru.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Katika taabu yangu nilimwomba Mwenyezi-Mungu, naye akanisikia na kuniweka huru.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakati wa maumivu yangu makuu, nilimlilia Mwenyezi Mungu, naye akanijibu kwa kuniweka huru.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati wa maumivu yangu makuu nilimlilia bwana, naye akanijibu kwa kuniweka huru.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Katika shida yangu nilimwita BWANA; BWANA akanijibu akaniweka panapo nafasi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 118:5
15 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Yakobo akaogopa sana, na kufadhaika sana, akawagawanya watu waliokuwa pamoja naye, na kondoo, na ng'ombe, na ngamia, wawe makundi mawili.


Wakamlilia BWANA katika dhiki zao, Akawaponya kutoka kwa shida zao.


Wakamlilia BWANA katika dhiki zao, Akawaponya kutoka kwa shida zao.


Katika shida yangu nilimlilia BWANA Naye akaniitikia.


Akanitoa akanipeleka panapo nafasi, Aliniponya kwa kuwa alipendezwa nami.


BWANA alinitendea sawasawa na haki yangu, Sawasawa na usafi wa mikono yangu akanilipa.


Katika shida yangu nilimwita BWANA, Na kumlalamikia Mungu wangu. Akaisikia sauti yangu hekaluni mwake, Kilio changu kikaingia masikioni mwake.


Wala hukunitia mikononi mwa adui; Miguu yangu umeisimamisha mahali penye usalama.


Katika siku ya taabu yangu nilimtafuta Bwana; Mkono wangu ulinyoshwa usiku, bila kulegea; Nafsi yangu ilikataa kufarijika.