Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 118:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wamchao BWANA na waseme sasa, Ya kwamba fadhili zake ni za milele.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wote wamchao Mwenyezi-Mungu na waseme: “Fadhili zake zadumu milele.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wote wamchao Mwenyezi-Mungu na waseme: “Fadhili zake zadumu milele.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wote wamchao Mwenyezi-Mungu na waseme: “Fadhili zake zadumu milele.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wote wanaomcha Mwenyezi Mungu na waseme sasa: “Fadhili zake zadumu milele.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wote wamchao bwana na waseme sasa: “Upendo wake wadumu milele.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wamchao BWANA na waseme sasa, Ya kwamba fadhili zake ni za milele.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 118:4
5 Marejeleo ya Msalaba  

Maana BWANA ni mwema; Rehema zake ni za milele; Na uaminifu wake katika vizazi vyote.


Enyi Israeli, mtumainini BWANA; Yeye ni msaada wao na ngao yao.


Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Ninyi mnaomcha BWANA, msifuni, Enyi nyote mlio wazawa wa Yakobo, mtukuzeni, Mcheni, enyi nyote mlio wazawa wa Israeli.


Sauti ikatoka katika kile kiti cha enzi ikisema, Msifuni Mungu wetu, enyi watumwa wake wote, ninyi mnaomcha, wadogo kwa wakubwa.