Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 118:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ndiwe Mungu wangu, nami nitakushukuru, Ndiwe Mungu wangu, nami nitakutukuza.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wewe ni Mungu wangu, nami ninakushukuru; ninakutukuza, ee Mungu wangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wewe ni Mungu wangu, nami ninakushukuru; ninakutukuza, ee Mungu wangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wewe ni Mungu wangu, nami ninakushukuru; ninakutukuza, ee Mungu wangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wewe ni Mungu wangu, nitakushukuru, wewe ni Mungu wangu, nitakutukuza.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wewe ni Mungu wangu, nitakushukuru, wewe ni Mungu wangu, nitakutukuza.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndiwe Mungu wangu, nami nitakushukuru, Ndiwe Mungu wangu, nami nitakutukuza.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 118:28
8 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye, BWANA, ndiye Mungu wetu; Duniani kote kuna hukumu zake.


Unifundishe kuyatenda mapenzi yako, Kwa maana ndiwe Mungu wangu; Roho yako mwema aniongoze katika njia iliyo sawa,


Ee Mungu wangu, Mfalme, nitakutukuza, Nitalihimidi jina lako milele na milele.


Nitamsifu BWANA muda ninaoishi, Nitamwimbia Mungu wangu ningali ni hai.


BWANA ni nguvu zangu, na wimbo wangu; Naye amekuwa wokovu wangu. Yeye ni Mungu wangu, nami nitamsifu; Ni Mungu wa baba yangu, nami nitamtukuza.


Tazama, Mungu ndiye wokovu wangu; Nitatumaini wala sitaogopa; Maana BWANA YEHOVA ni nguvu zangu na wimbo wangu; Naye amekuwa wokovu wangu.


Ee BWANA, wewe u Mungu wangu; Nitakutukuza na kulihimidi jina lako; Kwa kuwa umetenda mambo ya ajabu, Mashauri ya kale, kwa uaminifu na kweli.


Katika siku hiyo watasema, Tazama, huyu ndiye Mungu wetu, Ndiye tuliyemngoja atusaidie; Huyu ndiye BWANA tuliyemngoja, Na tushangilie na kuufurahia wokovu wake.