Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 118:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Neno hili limetoka kwa BWANA, Nalo ni ajabu machoni petu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hiyo ni kazi yake Mwenyezi-Mungu nayo ni ya ajabu sana kwetu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hiyo ni kazi yake Mwenyezi-Mungu nayo ni ya ajabu sana kwetu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hiyo ni kazi yake Mwenyezi-Mungu nayo ni ya ajabu sana kwetu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mwenyezi Mungu ametenda hili, nalo ni la kushangaza machoni petu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

bwana ametenda hili, nalo ni la kushangaza machoni petu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Neno hili limetoka kwa BWANA, Nalo ni ajabu machoni petu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 118:23
8 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye afanyaye mambo makuu, yasiyotambulikana; Mambo ya ajabu yasiyo na hesabu;


Hayo nayo yatoka kwa BWANA wa majeshi, mwenye shauri la ajabu, apitaye wote kwa hekima yake.


Tazameni, enyi mnaodharau, kastaajabuni, mkatoweke; kwa kuwa natenda kazi mimi siku zenu, kazi ambayo msingeisadiki kabisa, ijapo mtu akiwasimulia sana.


Basi walipoona ujasiri wa Petro na Yohana, na kuwajua ya kuwa ni watu wasio na elimu, wasio na maarifa, wakastaajabu, wakawatambua ya kwamba walikuwa pamoja na Yesu.