Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 118:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nitakushukuru kwa maana umenijibu, Nawe umekuwa wokovu wangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nakushukuru, ee Mungu kwa kunijibu; kwa sababu wewe ni wokovu wangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nakushukuru, ee Mungu kwa kunijibu; kwa sababu wewe ni wokovu wangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nakushukuru, ee Mungu kwa kunijibu; kwa sababu wewe ni wokovu wangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nitakushukuru, kwa kuwa ulinijibu, umekuwa wokovu wangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nitakushukuru, kwa kuwa ulinijibu, umekuwa wokovu wangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nitakushukuru kwa maana umenijibu, Nawe umekuwa wokovu wangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 118:21
7 Marejeleo ya Msalaba  

Haleluya. Nampenda BWANA kwa kuwa anaisikiliza Sauti yangu na dua zangu.


BWANA ni nguvu zangu na wimbo wangu, Naye amekuwa wokovu wangu.


BWANA ni nguvu zangu, na wimbo wangu; Naye amekuwa wokovu wangu. Yeye ni Mungu wangu, nami nitamsifu; Ni Mungu wa baba yangu, nami nitamtukuza.


Tazama, Mungu ndiye wokovu wangu; Nitatumaini wala sitaogopa; Maana BWANA YEHOVA ni nguvu zangu na wimbo wangu; Naye amekuwa wokovu wangu.


BWANA asema hivi, Wakati uliokubalika nimekujibu, na siku ya wokovu nimekusaidia; nami nitakuhifadhi, nitakutoa uwe agano la watu hawa, ili kuiinua nchi hii, na kuwarithisha urithi uliokuwa ukiwa;