Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 118:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nifungulieni malango ya haki, Nitaingia na kumshukuru BWANA.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nifungulie milango ya watu waadilifu, niingie na kumshukuru Mwenyezi-Mungu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nifungulie milango ya watu waadilifu, niingie na kumshukuru Mwenyezi-Mungu!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nifungulie milango ya watu waadilifu, niingie na kumshukuru Mwenyezi-Mungu!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nifungulie malango ya haki, nami nitaingia na kumshukuru Mwenyezi Mungu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nifungulie malango ya haki, nami nitaingia na kumshukuru bwana.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nifungulieni malango ya haki, Nitaingia na kumshukuru BWANA.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 118:19
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ingieni malangoni mwake kwa shukrani; Nyuani mwake kwa kusifu; Mshukuruni, lihimidini jina lake;


Baba wa yatima na mwamuzi wa wajane, Ni Mungu aliye katika kao lake takatifu.


Tuje mbele zake kwa shukrani, Tumfanyie shangwe kwa zaburi.


Fungueni malango yake, Taifa lenye haki, lishikalo kweli, liingie.


BWANA yu tayari kunipa wokovu. Basi, kwa vinubi tutaziimba nyimbo zangu, Siku zote za maisha yetu nyumbani mwa BWANA.


Tena Hezekia alikuwa amesema, Iko ishara gani ya kunionesha ya kuwa nitapanda niingie nyumbani mwa BWANA?


Heri wazifuao nguo zao, ili wawe na haki ya kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake.