Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 118:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Walinizunguka, naam, walinizunguka; Kwa jina la BWANA niliwakatilia mbali.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yalinizunguka kila upande, lakini kwa jina la Mwenyezi-Mungu, nikayaangamiza!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yalinizunguka kila upande, lakini kwa jina la Mwenyezi-Mungu, nikayaangamiza!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yalinizunguka kila upande, lakini kwa jina la Mwenyezi-Mungu, nikayaangamiza!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Walinizunguka pande zote, lakini kwa jina la Mwenyezi Mungu naliwakatilia mbali.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Walinizunguka pande zote, lakini kwa jina la bwana naliwakatilia mbali.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Walinizunguka, naam, walinizunguka; Kwa jina la BWANA niliwakatilia mbali.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 118:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Yoabu alipoona ya kwamba wamejipanga kwa vita juu yake mbele na nyuma, akachagua baadhi ya wateule wote wa Israeli, akawapanga juu ya Washami.


Walipiga yowe, lakini hakuna wa kuokoa, Walimwita BWANA lakini hakuwajibu,


Yamenizunguka kama mafuriko mchana kutwa, Yamenisonga kwa kila upande.


Mpenzi na rafiki umewatenga nami, Nao wanijuao wamo gizani.


Sauli akaenda upande huu wa mlima, na Daudi na watu wake wakaenda upande huu wa mlima; naye Daudi akafanya haraka sana ili amtoroke Sauli; kwa sababu Sauli na watu wake walikuwa wakiwazingira Daudi na watu wake ili kuwakamata.