Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 118:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mataifa yote walinizunguka; Kwa jina la BWANA niliwakatilia mbali.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mataifa yote yalinizingira, lakini kwa jina la Mwenyezi-Mungu nikayaangamiza!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mataifa yote yalinizingira, lakini kwa jina la Mwenyezi-Mungu nikayaangamiza!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mataifa yote yalinizingira, lakini kwa jina la Mwenyezi-Mungu nikayaangamiza!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mataifa yote yalinizunguka, lakini kwa jina la Mwenyezi Mungu naliwakatilia mbali.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mataifa yote yalinizunguka, lakini kwa jina la bwana naliwakatilia mbali.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mataifa yote walinizunguka; Kwa jina la BWANA niliwakatilia mbali.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 118:10
12 Marejeleo ya Msalaba  

Naam, adui zangu umewafanya wanipe visogo, Nao walionichukia nimewakatilia mbali.


Walipiga yowe, lakini hakuna wa kuokoa, Walimwita BWANA lakini hakuwajibu,


Yamenizunguka kama mafuriko mchana kutwa, Yamenisonga kwa kila upande.


Mpenzi na rafiki umewatenga nami, Nao wanijuao wamo gizani.


Tena itakuwa siku hiyo, nitafanya Yerusalemu kuwa jiwe la kuwalemea watu wa kabila zote; wote watakaojitwika jiwe hilo watapata majeraha mengi; na mataifa yote ya dunia watakusanyika pamoja juu yake.


Wafalme hao wote wakakutana pamoja; wakaenda na kupanga mahema yao pamoja hapo penye maji ya Meromu, ili kupigana na Israeli.