Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 118:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Haleluya. Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mshukuruni Mwenyezi-Mungu, kwa kuwa ni mwema, kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mshukuruni Mwenyezi-Mungu, kwa kuwa ni mwema, kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mshukuruni Mwenyezi-Mungu, kwa kuwa ni mwema, kwa maana fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mshukuruni Mwenyezi Mungu, kwa kuwa ni mwema; fadhili zake zadumu milele.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mshukuruni bwana, kwa kuwa ni mwema; upendo wake wadumu milele.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Haleluya. Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 118:1
9 Marejeleo ya Msalaba  

Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema; Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Mshukuruni BWANA, liitieni jina lake; Wajulisheni watu matendo yake.


Maana BWANA ni mwema; Rehema zake ni za milele; Na uaminifu wake katika vizazi vyote.


Bali fadhili za BWANA ni kwa wamchao Tangu milele hata milele, Na haki yake ni kwa vizazi vyote;


Haleluya. Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema; Kwa maana fadhili zake ni za milele.


itasikika tena sauti ya furaha na sauti ya shangwe, sauti ya bwana arusi na sauti ya bibi arusi, sauti yao wasemao Mshukuruni BWANA wa majeshi, maana BWANA ni mwema, rehema zake ni za milele; na sauti zao waletao sadaka za shukrani nyumbani kwa BWANA. Kwa kuwa nitawarudisha wafungwa wa nchi hii kama kwanza, asema BWANA.