Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 117:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Haleluya. Enyi mataifa yote, msifuni BWANA, Enyi watu wote, mhimidini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Enyi mataifa yote, msifuni Mwenyezi-Mungu! Enyi watu wote mhimidini!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Enyi mataifa yote, msifuni Mwenyezi-Mungu! Enyi watu wote mhimidini!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Enyi mataifa yote, msifuni Mwenyezi-Mungu! Enyi watu wote mhimidini!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Msifuni Mwenyezi Mungu, enyi mataifa yote; mtukuzeni yeye, enyi watu wote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Msifuni bwana, enyi mataifa yote; mtukuzeni yeye, enyi watu wote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Haleluya. Enyi mataifa yote, msifuni BWANA, Enyi watu wote, mhimidini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 117:1
12 Marejeleo ya Msalaba  

Kila mwenye pumzi na amsifu BWANA. Haleluya.


Mpigie Mungu kelele za shangwe, nchi yote,


Nchi yote itakusujudia na kukuimbia, Naam, italiimbia jina lako.


Watu na wakushukuru, Ee Mungu, Watu wote na wakushukuru.


Mataifa yote uliyoyaumba watakuja; Watakusujudia Wewe, Bwana, Watalitukuza jina lako;


Na tena, Enyi Mataifa yote, msifuni Bwana; Enyi watu wote, mhimidini.


Ni nani asiyekucha, Ee Bwana, na kulitukuza jina lako? Kwa kuwa wewe peke yako u Mtakatifu; kwa maana mataifa yote watakuja na kusujudu mbele zako; kwa kuwa matendo yako ya haki yamekwisha kufunuliwa.


Nao waimba wimbo mpya wakisema, Wastahili wewe kukitwaa hicho kitabu na kuifungua mihuri yake; kwa kuwa ulichinjwa, ukawa fidia kwa Mungu na kwa damu yako watu wa kila kabila na lugha na jamaa na taifa,