Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 116:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ee nafsi yangu, urudi pumzikoni mwako, Kwa kuwa BWANA amekutendea ukarimu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Uwe na utulivu mkuu, ee nafsi yangu, maana Mwenyezi-Mungu amenitendea mema.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Uwe na utulivu mkuu, ee nafsi yangu, maana Mwenyezi-Mungu amenitendea mema.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Uwe na utulivu mkuu, ee nafsi yangu, maana Mwenyezi-Mungu amenitendea mema.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee nafsi yangu, tulia tena, kwa kuwa Mwenyezi Mungu amekuwa mwema kwako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee nafsi yangu, tulia tena, kwa kuwa bwana amekuwa mwema kwako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ee nafsi yangu, urudi rahani mwako, Kwa kuwa BWANA amekutendea ukarimu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 116:7
8 Marejeleo ya Msalaba  

Umtendee mtumishi wako ukarimu, Nipate kuishi, nami nitalitii neno lako.


Naam, nitamwimbia BWANA, Kwa kuwa amenitendea kwa ukarimu.


Ndipo Nikaapa kwa hasira yangu Hawataingia katika pumziko langu.


Kwa sababu hiyo usiogope, Ee Yakobo, mtumishi wangu, asema BWANA; wala usifadhaike, Ee Israeli; kwa maana, tazama, nitakuokoa toka mbali, na wazao wako toka nchi ya uhamisho wao; na Yakobo atarudi, naye atatulia na kustarehe, wala hapana mtu atakayemtia hofu.


BWANA asema hivi, Simameni katika njia kuu, mkaone, mkaulize habari za mapito ya zamani, Iko wapi njia iliyo njema? Mkaende katika njia hiyo, nanyi mtajipatia raha katika nafsi zenu. Lakini walisema, Hatutaki kwenda katika njia hiyo.


Naye atawafuata wapenzi wake, lakini hatawapata; atawatafuta, lakini hatawaona; ndipo atakaposema, Nitakwenda nikamrudie mume wangu wa kwanza; kwa maana hali yangu ya zamani ilikuwa njema kuliko hali yangu ya sasa.