Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 115:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kwa nini mataifa kusema, Yuko wapi Mungu wao?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa nini mataifa yaseme: “Mungu wenu yuko wapi?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa nini mataifa yaseme: “Mungu wenu yuko wapi?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa nini mataifa yaseme: “Mungu wenu yuko wapi?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa nini mataifa waseme, “Yuko wapi Mungu wao?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa nini mataifa waseme, “Yuko wapi Mungu wao?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa nini mataifa kusema, Yuko wapi Mungu wao?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 115:2
10 Marejeleo ya Msalaba  

Watesi wangu hunitukana mithili ya kuniponda mifupa yangu, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?


Nafsi yangu, kwa nini kuinama, Na kufadhaika ndani yangu? Umtumaini Mungu; Kwa maana nitakuja kumsifu, Aliye afya ya uso wangu, Na Mungu wangu.


Machozi yangu yamekuwa chakula changu mchana na usiku, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?


Nayakumbuka mambo haya kwa uchungu moyoni mwangu, Jinsi nilivyokuwa nikienda na mkutano, Na kuwaongoza hadi katika nyumba ya Mungu, Kwa sauti ya furaha na kusifu, mkutano wa sikukuu.


Kwa nini mataifa yaseme, Yuko wapi Mungu wao? Kisasi cha damu ya watumishi wako iliyomwagika Kijulike kati ya mataifa machoni petu.


Kwa nini Wamisri waseme, kuwa “Amewatoa ili awatende mabaya, apate kuwaua milimani na kuwaangamiza watoke juu ya uso wa nchi?” Geuza katika hasira yako kali, ughairi uovu huu ulio nao juu ya watu wako.


Hao makuhani, wahudumu wa BWANA, na walie Kati ya patakatifu na madhabahu, Na waseme, Uwaachilie watu wako, Ee BWANA, Wala usiutoe urithi wako upate aibu, Hata mataifa watawale juu yao; Kwa nini waseme kati ya watu, Yuko wapi Mungu wao?