Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 115:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Enyi mlango wa Haruni, mtumainini BWANA; Yeye ni msaada wao na ngao yao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Enyi wazawa wa Aroni, mtumainieni Mwenyezi-Mungu; yeye ndiye msaada wenu na ngao yenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Enyi wazawa wa Aroni, mtumainieni Mwenyezi-Mungu; yeye ndiye msaada wenu na ngao yenu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Enyi wazawa wa Aroni, mtumainieni Mwenyezi-Mungu; yeye ndiye msaada wenu na ngao yenu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee nyumba ya Haruni, mtumainini Mwenyezi Mungu, yeye ni msaada na ngao yao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee nyumba ya Haruni, mtumainini bwana, yeye ni msaada na ngao yao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Enyi mlango wa Haruni, mtumainini BWANA; Yeye ni msaada wao na ngao yao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 115:10
6 Marejeleo ya Msalaba  

Baada ya mambo hayo neno la BWANA likamjia Abramu katika njozi, likinena, Usiogope, Abramu, Mimi ni ngao yako, na thawabu yako itakuwa kubwa sana.


Mlango wa Haruni na waseme sasa, Ya kwamba fadhili zake ni za milele.


Nawe umlete Haruni ndugu yako karibu nami, na wanawe pamoja naye, miongoni mwa wana wa Israeli, ili anitumikie katika kazi ya ukuhani. Haruni, na Nadabu, na Abihu, na Eleazari, na Ithamari, wana wa Haruni.


viwe ukumbusho kwa wana wa Israeli, ili mgeni yeyote asiye wa kizazi cha Haruni, asikaribie kufukiza uvumba mbele za BWANA; asiwe mfano wa Kora, na mkutano wake; kama BWANA alivyonena naye, kwa kupitia kwa Musa.


kisha akanena na Kora na mkutano wake wote, akawaambia, Asubuhi BWANA ataonesha ni kina nani walio wake, kisha ni nani aliye mtakatifu, tena ni nani atakayemkaribisha kwake; maana, yeye atakayemchagua ndiye atakayemsongeza kwake.


Nawe na wanao pamoja nawe mtautunza ukuhani wenu, kwa ajili ya kila kitu cha madhabahu, na kwa ajili ya vile vilivyomo ndani ya pazia, nanyi mtatumika. Nawapeni ukuhani kuwa utumishi wa kipawa; na mgeni akaribiaye atauawa.