Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 113:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Anyenyekeaye kutazama, Mbinguni na duniani?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

lakini anatazama chini, azione mbingu na dunia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

lakini anatazama chini, azione mbingu na dunia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

lakini anatazama chini, azione mbingu na dunia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ambaye huinama atazame chini aone mbingu na nchi?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ambaye huinama atazame chini aone mbingu na nchi?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Anyenyekeaye kutazama, Mbinguni na duniani?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 113:6
9 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye hawategemei watakatifu wake; Naam, mbingu nazo si safi machoni pake.


Maana anatazama hata miisho ya nchi, Na kuona chini ya mbingu nzima.


Tazama, yeye hawategemei watumishi wake; Na malaika wake huwahesabia kosa;


BWANA yu katika hekalu lake takatifu. BWANA ambaye kiti chake kiko mbinguni, Macho yake yanaangalia; Kope zake zinawapima wanadamu.


Ingawa BWANA yuko juu, anamjali mnyenyekevu, Naye amjua mwenye kujivuna tokea mbali.


Akiwa katika kiti chake cha enzi. Huwaangalia wote wakaao duniani.


Maana yeye aliye juu, aliyetukuka, akaaye milele; ambaye jina lake ni Mtakatifu; asema hivi; Nakaa mimi mahali palipoinuka, palipo patakatifu; tena pamoja na yeye aliye na roho iliyotubu na kunyenyekea, ili kuzifufua roho za wanyenyekevu, na kuifufua mioyo yao waliotubu.


Juu yake walisimama maserafi; kila mmoja alikuwa na mabawa sita; kwa mawili alifunika uso wake, na kwa mawili alifunika miguu yake, na kwa mawili aliruka.


Maana mkono wangu ndio uliofanya hivi vyote, vitu hivi vyote vikapata kutokea, asema BWANA; lakini mtu huyu ndiye nitakayemwangalia, mtu aliye mnyonge, mwenye roho iliyopondeka, atetemekaye asikiapo neno langu.