Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 112:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nyumbani mwake mna utajiri na mali, Na haki yake yadumu milele.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nyumbani kwake kutakuwa na mali nyingi; uadilifu wake wadumu milele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nyumbani kwake kutakuwa na mali nyingi; uadilifu wake wadumu milele.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nyumbani kwake kutakuwa na mali nyingi; uadilifu wake wadumu milele.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nyumbani mwake kuna mali na utajiri, haki yake hudumu milele.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nyumbani mwake kuna mali na utajiri, haki yake hudumu milele.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nyumbani mwake mna utajiri na mali, Na haki yake yadumu milele.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 112:3
17 Marejeleo ya Msalaba  

Nawe utajua ya kwamba hema yako ni salama; Na zizi lako utalikagua, wala usikose kitu.


Kumcha BWANA ndio mwanzo wa hekima, Wote wafanyao hayo wana ufahamu mzuri, Sifa zake zadumu milele.


Kazi yake imejaa heshima na adhama, Na haki yake yadumu milele.


Ametoa kwa ukarimu, na kuwapa maskini, Haki yake yakaa milele, Pembe yake itatukuzwa kwa utukufu.


Wanasimba hutindikiwa, na kuona njaa; Bali wamtafutao BWANA hawapungukiwi kitu chochote kilicho chema.


Njoni, enyi wana, mnisikilize, Nami nitawafundisha kumcha BWANA.


Katika nyumba ya mwenye haki mna akiba nyingi; Bali mapato ya mtu mbaya huwa taabu tu.


Kuna hazina ya thamani na mafuta katika maskani ya mwenye hekima; Bali mwanadamu aliye mpumbavu huyameza.


Ana wingi wa siku katika mkono wake wa kulia, Utajiri na heshima katika mkono wake wa kushoto.


Na kazi ya haki itakuwa amani; na mazao ya haki yatakuwa ni utulivu na matumaini daima.


Nyakati zako zitakuwa nyakati za kukaa imara; za wokovu tele na hekima na maarifa; kumcha BWANA ni hazina yake ya akiba.


Maana nondo atawala kama vazi, na funza atawala kama sufu; bali haki yangu itakuwa ya milele, na wokovu wangu hata vizazi vyote.


Bali utafuteni kwanza ufalme wake, na haki yake; na hayo yote mtazidishiwa.


kama wenye huzuni, bali siku zote tu wenye furaha; kama maskini, bali tukitajirisha wengi; kama wasio na kitu, bali tu wenye vitu vyote.