Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 112:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wazawa wake watakuwa hodari duniani; Kizazi cha wenye adili kitabarikiwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wazawa wake watakuwa wenye nguvu nchini; watoto wa wanyofu watapata baraka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wazawa wake watakuwa wenye nguvu nchini; watoto wa wanyofu watapata baraka.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wazawa wake watakuwa wenye nguvu nchini; watoto wa wanyofu watapata baraka.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watoto wake watakuwa wenye uwezo katika nchi, kizazi cha watu waadilifu kitabarikiwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watoto wake watakuwa wenye uwezo katika nchi, kizazi cha watu waadilifu kitabarikiwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wazawa wake watakuwa hodari duniani; Kizazi cha wenye adili kitabarikiwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 112:2
12 Marejeleo ya Msalaba  

Agano langu nitalifanya imara kati yangu na wewe, na uzao wako baada yako, na vizazi vyao, kuwa agano la milele, kwamba nitakuwa Mungu kwako na kwa uzao wako baada yako.


Ikawa, baada ya kufa kwake Abrahamu, Mungu akambariki Isaka mwanawe. Naye Isaka akakaa karibu ya Beer-lahai-roi.


Wana wa watumishi wako watakaa, Na wazawa wao wataimarishwa mbele zako.


Watafanikiwa maishani mwao; Na wazawa wao wataimiliki nchi.


Mchana kutwa hufadhili na kukopesha, Na mzao wake hubarikiwa.


Hakika, mtu mwovu hatakosa adhabu; Bali wazawa wa wenye haki wataokoka.


Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi; Na mali ya mkosaji huwa akiba kwa mwenye haki.


Mwenye haki aendaye katika unyofu wake, Watoto wake wabarikiwa baada yake.


nami nitawapa moyo mmoja na njia moja, wapate kunicha sikuzote; kwa mema yao, na ya watoto wao baada yao;


na kijiko kimoja cha dhahabu, uzani wake shekeli kumi, kilichojaa uvumba;


Kwa kuwa ahadi hii ni kwa ajili yenu, na kwa watoto wenu, na kwa watu wote walio mbali, na kwa wote watakaoitwa na Bwana Mungu wetu wamjie.