Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 111:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Haleluya. Nitamshukuru BWANA kwa moyo wangu wote, Barazani pa wanyofu wa moyo na katika mkutano.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Msifuni Mwenyezi-Mungu! Nitamshukuru Mwenyezi-Mungu kwa moyo wangu wote, nikijumuika na jamii ya watu waadilifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Msifuni Mwenyezi-Mungu! Nitamshukuru Mwenyezi-Mungu kwa moyo wangu wote, nikijumuika na jamii ya watu waadilifu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Msifuni Mwenyezi-Mungu! Nitamshukuru Mwenyezi-Mungu kwa moyo wangu wote, nikijumuika na jamii ya watu waadilifu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Msifuni Mwenyezi Mungu. Nitamtukuza Mwenyezi Mungu kwa moyo wangu wote, katika baraza la wanyofu na katika kusanyiko.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Msifuni bwana. Nitamtukuza bwana kwa moyo wangu wote, katika baraza la wanyofu na katika kusanyiko.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Haleluya. Nitamshukuru BWANA kwa moyo wangu wote, Barazani pa wanyofu wa moyo na katika mkutano.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 111:1
18 Marejeleo ya Msalaba  

Ee nafsi yangu, umhimidi BWANA. Naam, vyote vilivyo ndani yangu Vilihimidi jina lake takatifu.


Haleluya. Mshukuruni BWANA kwa kuwa ni mwema, Kwa maana fadhili zake ni za milele.


Na ahimidiwe BWANA, Mungu wa Israeli, Tangu milele hata milele. Watu wote na waseme, Amina. Haleluya.


Na wamtukuze katika kusanyiko la watu, Na wamhimidi katika baraza la wazee.


Ee BWANA, nitakushukuru kati ya watu, Nitakuimbia sifa kati ya mataifa.


Nitamshukuru BWANA kwa kinywa changu, Naam, nitamsifu katikati ya mkutano.


Nitakushukuru kwa moyo wangu wote, Mbele ya miungu nitakuimbia zaburi.


Haleluya. Mwimbieni BWANA wimbo mpya, Sifa zake katika kusanyiko la watauwa.


Ninyi mnaomcha BWANA, msifuni, Enyi nyote mlio wazawa wa Yakobo, mtukuzeni, Mcheni, enyi nyote mlio wazawa wa Israeli.


Kwako zinatoka sifa zangu Katika kusanyiko kubwa. Nitaziondoa nadhiri zangu Mbele yao wamchao.


Nitakushukuru katika kusanyiko kubwa; Nitakusifu kati ya watu wengi.


Ee BWANA, mbingu zitayasifu maajabu yako, Uaminifu wako katika kusanyiko la watakatifu.


Mungu huogopwa sana barazani pa watakatifu, Ni wa kuhofiwa kuliko wote wanaomzunguka.


Nitamshukuru BWANA kwa moyo wangu wote; Nitayasimulia matendo yako yote ya ajabu;