Zaburi 11:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Kama misingi ikiharibika, Mwenye haki atafanya nini? Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Kama misingi ikiharibiwa, mtu mwadilifu atafanya nini?” Biblia Habari Njema - BHND Kama misingi ikiharibiwa, mtu mwadilifu atafanya nini?” Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Kama misingi ikiharibiwa, mtu mwadilifu atafanya nini?” Neno: Bibilia Takatifu Wakati misingi imeharibiwa, mwenye haki anaweza kufanya nini?” Neno: Maandiko Matakatifu Wakati misingi imeharibiwa, mwenye haki anaweza kufanya nini?” BIBLIA KISWAHILI Kama misingi ikiharibika, Mwenye haki atafanya nini? |
Na watu wako watapajenga mahali palipokuwa ukiwa; utaiinua misingi ya vizazi vingi; nawe utaitwa, Mwenye kutengeneza mahali palipobomoka; na, Mwenye kurejesha njia za kukaa.
Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, wenye mhuri huu, Bwana awajua walio wake. Na tena, Kila aliitaye jina la Bwana na auache uovu.