Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 11:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kama misingi ikiharibika, Mwenye haki atafanya nini?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama misingi ikiharibiwa, mtu mwadilifu atafanya nini?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama misingi ikiharibiwa, mtu mwadilifu atafanya nini?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama misingi ikiharibiwa, mtu mwadilifu atafanya nini?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakati misingi imeharibiwa, mwenye haki anaweza kufanya nini?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati misingi imeharibiwa, mwenye haki anaweza kufanya nini?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama misingi ikiharibika, Mwenye haki atafanya nini?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 11:3
15 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mwenye haki ataishika njia yake, Naye mwenye mikono safi atazidi kupata nguvu.


Ingawa dunia na wote wakaao humo wataharuki, Mimi mwenyewe nimezisimamisha nguzo zake.


Hawajui wala hawafahamu, hutembea gizani; Misingi yote ya nchi imetikisika.


Na watu wako watapajenga mahali palipokuwa ukiwa; utaiinua misingi ya vizazi vingi; nawe utaitwa, Mwenye kutengeneza mahali palipobomoka; na, Mwenye kurejesha njia za kukaa.


Lakini msingi wa Mungu ulio imara umesimama, wenye mhuri huu, Bwana awajua walio wake. Na tena, Kila aliitaye jina la Bwana na auache uovu.