Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 11:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maana, tazama, wasio haki wanaupinda uta, Wanaitia mishale yao katika upote, Ili kuwapiga gizani wanyofu wa moyo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

maana waovu wanavuta pinde; wameweka mishale tayari juu ya uta, wawapige mshale watu wema gizani!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

maana waovu wanavuta pinde; wameweka mishale tayari juu ya uta, wawapige mshale watu wema gizani!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

maana waovu wanavuta pinde; wameweka mishale tayari juu ya uta, wawapige mshale watu wema gizani!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hebu tazama, waovu wanapinda nyuta zao; wanaweka mishale kwenye nyuzi zake ili wakiwa gizani, wawapige walio wanyofu wa moyo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hebu tazama, waovu wanapinda pinde zao, huweka mishale kwenye uzi wake, wakiwa gizani ili kuwapiga wale wanyofu wa moyo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana, tazama, wasio haki wanaupinda uta, Wanaitia mishale yao katika uta, Ili kuwapiga gizani wanyofu wa moyo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 11:2
18 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa kiburi chake asiye haki mnyonge anafuatiwa kwa ukali; Na wanaswe kwa hila zizo hizo walizoziwaza.


Ee BWANA, uwatendee mema walio wema, Nao walio wanyofu wa moyo.


Roho yangu inapozimia unayajua mapito yangu; Katika njia niendayo wamenifichia mtego.


Kwa maana utawatimua utawafanya wakimbie, Kwa upote wa uta wako utazilenga nyuso zao.


Mfurahieni BWANA; Shangilieni, enyi wenye haki Pigeni vigelegele vya furaha; Ninyi nyote mlio wanyofu wa moyo.


Wasio haki wamefuta upanga na kupinda uta, Wamwangushe chini maskini na mhitaji, Na kuwaua wenye mwenendo wa unyofu.


Mwenye haki atamfurahia BWANA na kumkimbilia, Na wote wenye moyo wa adili watasifu.


Ngao yangu ina Mungu, Awaokoaye wanyofu wa moyo.


Mtu asipoongoka ataunoa upanga wake; Ameupinda uta wake na kuuweka tayari;


Maana hukumu itarejea kwa wenye haki, Na wote walio wanyofu wa moyo wataifuata.


Nuru humwangazia mwenye haki, Na furaha ni kwa wanyofu wa moyo.


Huupinda ulimi wao, kana kwamba ni upinde, ili kusema uongo; nao wamepata nguvu katika nchi, lakini si katika uaminifu; maana huendelea toka ubaya hata ubaya, wala hawanijui mimi, asema BWANA.


wakafanya shauri pamoja, ili wamkamate Yesu kwa hila na kumwua.


Naye Sauli akasema moyoni, Mimi nitamwoza huyu, awe mtego kwake, tena kwamba mkono wa Wafilisti uwe juu yake. Basi Sauli akamwambia Daudi mara ya pili, Leo utakuwa mkwe wangu.


Naye Daudi alifahamu ya kuwa Sauli amemkusudia mabaya; akamwambia Abiathari, kuhani, Lete hapa hiyo naivera.