Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 109:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Umweke mtu mkorofi juu yake, Mshitaki na asimame kulia kwake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Umweke hakimu mbaya dhidi ya adui yangu; na mshtaki wake ampeleke mahakamani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Umweke hakimu mbaya dhidi ya adui yangu; na mshtaki wake ampeleke mahakamani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Umweke hakimu mbaya dhidi ya adui yangu; na mshtaki wake ampeleke mahakamani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Agiza mtu mwovu ampinge, mshtaki asimame mkono wake wa kuume.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Agiza mtu mwovu ampinge, mshtaki asimame mkono wake wa kuume.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Umweke mtu mkorofi juu yake, Mshitaki na asimame kulia kwake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 109:6
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha akanionesha Yoshua, kuhani mkuu, amesimama mbele ya malaika wa BWANA, na Shetani amesimama mkono wake wa kulia ili kushindana naye.


Wakasema, Basi, haya yatuhusu nini sisi? Yaangalie haya wewe mwenyewe.


Patana na mshitaki wako upesi, wakati uwapo pamoja naye njiani; yule mshitaki asije akakupeleka kwa hakimu, na hakimu akakupeleka kwa askari, ukatupwa gerezani.


Hata wakati wa chakula cha jioni; naye Ibilisi amekwisha kumtia Yuda, mwana wa Simoni Iskarioti, moyo wa kumsaliti;


Na baada ya hilo tonge Shetani alimwingia. Basi Yesu akamwambia, Uyatendayo yatende upesi.