Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 109:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Naam, kwa maneno ya chuki wamenizunguka, Wamepigana nami bure.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanasema maovu juu yangu, na kunishambulia bila kisa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanasema maovu juu yangu, na kunishambulia bila kisa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanasema maovu juu yangu, na kunishambulia bila kisa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wamenizunguka kwa maneno ya chuki, wananishambulia bila sababu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wamenizunguka kwa maneno ya chuki, wananishambulia bila sababu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Naam, kwa maneno ya chuki wamenizunguka, Wamepigana nami bure.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 109:3
14 Marejeleo ya Msalaba  

Absalomu alipokuwa akitoa dhabihu alituma Ahithofeli Mgiloni, Mshauri wake Daudi, aitwe kutoka mji wake, yaani, Gilo. Njama zao zikawa na nguvu; maana watu waliokuwa pamoja na Absalomu walizidi kuongezeka.


Wamenifuatia; na sasa wananizunguka, Na kuyakaza macho yao watuangushe chini.


Mafahali wengi wamenizunguka, Walio hodari wa Bashani wamenisonga;


Walio adui zangu bure wasinisimange, Wanaonichukia bila sababu wasining'ong'e.


Maana hawasemi maneno ya amani, Ila juu ya watulivu wa nchi huwaza hila.


Maana bila sababu wamenifichia wavu, Bila sababu wameichimbia shimo nafsi yangu.


Wanaonichukia bure ni wengi Kuliko nywele za kichwa changu. Watakao kunikatilia mbali ni wengi, Adui zangu kwa sababu isiyo kweli. Hata mimi nililipishwa kwa nguvu Vitu nisivyovichukua.


Yamenizunguka kama mafuriko mchana kutwa, Yamenisonga kwa kila upande.


Efraimu amenizunguka kwa maneno ya uongo, na nyumba ya Israeli kwa udanganyifu; na Yuda hata sasa anasitasita kwa Mungu, na kwake aliye Mtakatifu, naye ni mwaminifu.


Akasema, Bwana wangu ananiwinda mimi mtumishi wake kwa sababu gani? Nimefanya nini mimi? Ni uovu gani nilio nao mkononi mwangu?