Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 109:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Magoti yangu yamedhoofu kwa kufunga, Na mwili wangu umekonda kwa kukosa mafuta.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Magoti yangu yamenyongonyea kwa mfungo; nimebaki mifupa na ngozi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Magoti yangu yamenyongonyea kwa mfungo; nimebaki mifupa na ngozi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Magoti yangu yamenyong'onyea kwa mfungo; nimebaki mifupa na ngozi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Magoti yangu yamelegea kwa kufunga, mwili wangu umedhoofika na kukonda.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Magoti yangu yamelegea kwa kufunga, mwili wangu umedhoofika na kukonda.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Magoti yangu yamedhoofu kwa kufunga, Na mwili wangu umekonda kwa kukosa mafuta.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 109:24
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mfupa wangu unagandamana na ngozi yangu na nyama yangu, Nami nimeokoka na ngozi ya meno yangu tu.


Nimemwagika kama maji, Mifupa yangu yote imeteguka, Moyo wangu umekuwa kama nta, Na kuyeyuka ndani ya moyo wangu.


Nilipolia na kuiadhibu roho yangu kwa kufunga, Nikalaumiwa kwa hayo.


Nilipofanya gunia kuwa nguo zangu, Nikawa kifani cha dharau kwao.


Akafunga siku arubaini mchana na usiku, mwishowe akaona njaa.


katika taabu na masumbufu; katika kukesha mara nyingi; katika njaa na kiu; katika kufunga mara nyingi; katika baridi na kuwa uchi.


Kwa hiyo inyosheni mikono iliyolegea na magoti yaliyopooza,