Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 109:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na iwe kwake kama vazi ajivikalo, Na kama mshipi ajifungao daima.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Laana zimfunike kama nguo, zimzunguke daima kama ukanda.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Laana zimfunike kama nguo, zimzunguke daima kama ukanda.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Laana zimfunike kama nguo, zimzunguke daima kama ukanda.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Na iwe kama joho alilozungushiwa, kama mshipi aliofungiwa daima.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Na iwe kama joho alilozungushiwa, kama mshipi aliofungiwa daima.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na iwe kwake kama vazi ajivikalo, Na kama mshipi ajifungao daima.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 109:19
4 Marejeleo ya Msalaba  

Alijivika laana kana kwamba ni vazi lake. Ikamwingilia moyoni kama maji, Na kama mafuta mifupani mwake.


Washitaki wangu watavikwa fedheha, Na wavikwe aibu yao kama joho.


Adui zake nitawavika aibu, Bali juu yake taji lake litasitawi.


Waaibishwe, wafedheheshwe pamoja, Wanaoifurahia hali yangu mbaya. Wavikwe aibu na fedheha, Wanaojikuza juu yangu.